Mwishoni mwa juma lililopita lilifanyika lile tamasha letu la mpira wa kikapu kwa watoto na vijana
wenye umri chini ya miaka 14 & 16, wavulana kwa wasichana katika
uwanja wa Kiloleli. Mgeni rasmi alikuwa Mbunge wa Ilemela ambaye pia ni Naibu wa Wizara ya Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Dkt. Angeline Mabula. Mashindano yamefana sana.
Madini ya Bati fursa zipo nyingi njooni – Mkopi
-
· Hutumika kwenye mifumo ya kielektroniki ya simu, ndege, vyuma vya reli
· Yaleta ukombozi kwa wananchi Kyerwa
KAGERA
MADINI ya Bati (Tin) yameendel...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.