ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, September 9, 2017

KADI NYEKUNDU YA SADIO MANE KWA KUMTANDIKA BUTI KIPA WA MAN CITY YAIGHARIMU LIVERPOOL KUPOKEA KICHAPO CHA MKONO.

Buti la Sadio Mane dhidi uso wa Ederson limeigharimu Liverpool hii leo katika mchezo dhidi ya Manchester City.

Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika za 45 na Ushei na 53 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo mchana Uwanja wa Etihad. 

Leroy Sane alitokea benchi kuchukua nafasi ya Jesus dakika ya 57 naye akafunga mabao mawili dakika za 77 na 90 na Ushei, wakati bao la kwanza leo lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 24.
  • Sergio Agüero24'
  • Gabriel Jesus45+6'
  • Gabriel Jesus53'
  • Leroy Sané77'
  • Leroy Sané90+1'


Sadio Mane went off in pursuit of Joel Matip’s long pass on 37 minutes with honest intentions, and his eyes were looking nowhere but at a ball that his speed and athleticism took him within a whisker of controlling. That does not, however, absolve him of the responsibility for the safety of the advancing Ederson Moraes who took Mane’s right boot to the side of his face and looked in trouble even before he got his hands out to break his fall.



Sadio Mane protests his innocence as Ederson clutches his face
Sadio Mane akijisalimisha baada ya madhambi kwa Ederson.

Another red card that divided opinion and demonstrated that there are still so many in football who see the game on the terms that they remember it, or once played it. Which is fine for the post-match debate but when it comes to the difficult real-time decisions in the heat of the moment, all the referee can do is interpret the law as it is today and Jonathan Moss was correct to dismiss Mane.




Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.