Magufuli
aipa kibano Barrick, JPM: Wanaowatetea wezi mawakala wa shetani,
Polisi: Lissu hatoki, Migodi ya dhahabu hatarini kufungwa.
Leseni
za uchimbaji madini zasitishwa, Polisi wahaha na Lissu mchana kutwa,
JPM awataka Warundi kurejea nyumbani. Habarika na dondoo hizi za
magazeti hapa.
WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.
-
Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na
chama Cha mapinduzi ( CCM)
Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani ...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.