Magufuli
aipa kibano Barrick, JPM: Wanaowatetea wezi mawakala wa shetani,
Polisi: Lissu hatoki, Migodi ya dhahabu hatarini kufungwa.
Leseni
za uchimbaji madini zasitishwa, Polisi wahaha na Lissu mchana kutwa,
JPM awataka Warundi kurejea nyumbani. Habarika na dondoo hizi za
magazeti hapa.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.