| Safu ya mbele dadaz and sisters kwa harusi ya Daudi Kusekwa aliyemuoa Madam Flora baada ya kipindi kirefu cha upweke mara baada ya kuachana na mumewe Emmanuel Mbasha. |
| Shangwe za wapambe. |
| Hatariiii. |
| Stuaaaa mule mule. |
| Tumewaona .......safi. |
| EEeeeenh. |
| Mwenyekiti akitoa neno kwaajili ya kukata utepe. |
| Kwanchaaaaaa!! |
| Ilihitaji umakini sana kwa pozi kwani kila dakika ilikuwa na matumizi yake na kila tukio lilinaswa yaani ni Full ma-paparazi |
| Raha.....! |
| Cheza mpaka chini....! |
| Sasa ni zamu ya marafiki kuwamulika. |
| Hii inaitwa abiria chunga mzigo wako.....!! |
| Cake time....! |
| Wamependezaje....! |
| Nilishe nikulishe tuonyeshe ishara ya upendo. |
| Kila kona tukio lilinaswa simu ziko full charge. |
| Zuanga Selfie. |
| Bi. harusi Flora mara baada ya kukabidhi keki kwa mama wa David Kusekwa. |
| Aksante kijana kwa kutuletea ....... |
| Shine shine.....ndani ya Local Beach Mwanza Tanzania. |
| Bwana harusi David Kusekwa hapa akikabidhi keki kwa wazazi wa Flora. |
| Mambo ya Champagne. |
| The muonekano. |
| Are you ok. |
| Bup......!! |
| Furahia utamu wake. |
| Maua ..... |
| Another one. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment