Bondia wa Uingereza Anthony Joshua
amemwangusha Wladimir Klitschko wa Ukraine na kutawazwa bingwa wa dunia
kitengo cha uzani mzito.
Joshua alinusa ushindi, baada ya kupata upenyu na kurusha ngumi ya kushtukiza ya mtunguo, iliyompa nafasi ya kumwangusha wladamir kwa msururu wa ngumi.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.