ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 27, 2017

MWANZA AJITOKEZA JAMAA ATAKAYEMPIKU HUSSEIN BOLT KATIKA KUFUKUZA UPEPO.

 Mwanariadha kutoka jijini Mwanza, Yusuph Mwilongo akionyesha uwezo wake wa kukimbia mita 100 kwa sekunde 9 hadi 11 kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa juzi huku rekodi ya dunia inashikiliwa na Usain Bolt kwa kukimbia mita 100 kwa sekunde 9.12.
 Yusuph akionyesha uwezo wake kwenye uwanja wa CCM Kirumba  picha zote na Annastazia Maginga
 Afisa Michezo wa Jiji la Mwanza, Mohamed Bitegeko akizungumza na waandishi wa habari CCM Kirumba jijini hapa juzi  baada ya kushuhudia mbio za Mwanariadha Yusuph Mwilongo(kushoto) mwenye uwezo wa kukimbia mita 100 kwa sekunde 9 hadi 11.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.