ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, April 12, 2017

BAADHI YA MATUKIO YALIYOJIRI KATIKA UZINDUZI WA RELI YA KISASA PUGU JIJINI DAR ES SALAAM


Sehemu ya hotuba ya Rais Magufuli kuhusu ujenzi wa reli ya kisasa  wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa reli ya kisasa Pugu jijini Dar es Salaam.
 
Kauli ya Rais Magufuli kuhusu ufisadi nchini, kuzuia usafirishaji wa mchanga wa dhahabu, suala la kulinda amani ya nchi, na uchapakazi kwa kila mtu, kazi kwanza siasa baadae.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.