ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, February 10, 2017

STORI TANO ZILIZO BAMBA LEO MITANDAONI.

NO.1 Mbowe akataa wito wa Makonda.
 NO. 2 Dogo shabiki wa Sunderland Bradley Lowery mwenye umri wa miaka mitano, anayesumbuliwa na ugonjwa wa kansa kachagua kufa mikononi mwa Defoe, nae amekubali kuwepo muda wote pale akihitajika na huyo mtoto.

High risk neuroblastoma, a form of cancer which attacks the nervous system, has up to an 80 per cent relapse rate. But there is no available relapse treatment in the UK.

NO. 3 Zitto Kabwe ampiga tafu Mhe. Mbowe baada ya kuhusishwa na sakata la madawa ya kulevya kwa madai kuwa hizo ni hujuma tu za kuchafua majina ya watetezi wa wananchi..

NO. 4 Samatta afanya yake ndani ya klabu yake ya KRC Genk, atupia na kuipa ushindi timu yake hiyo.
NO. 5 Ni dhahiri kuwa taarifa hii itakuwa mwiba mwingine kwa mashabiki wa Arsenal, baada ya kocha Wenger kusaini mkataba mpya wa kuitumikia klabu hiyo hadi 2019.
NA G.SENGO JEMBE FM.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.