Tangu usiku wa saa 7 kuamkia Alhamisi wachimbaji hao wamekuwa chini ardhini wakishindwa kujua nini hatma yao baada ya udongo kutitia na kufunika sehemu ya tundu ambalo ndilo mlango wa kutokea shimoni humo.Wananchi wa kata ya Nyarugusu na Viunga vyake wamepongeza juhudi baada ya watu 15 waliokuwa wamefunikwa na kifusi cha udongo kwa siku 4 ndani ya Mgodi wa RZ kuokolewa wakiwa wazima.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment