ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, January 28, 2017

SERENA WILLIAMS AANDIKA HISTORIA BAADA YA KUSHINDA DADA YAKE VENUS KWENYE FAINALI.

Pamoja sana!!
Serena Williams ameandika historia kwenye tennis kwa mara nyingine baada ya kumshinda dada yake Venus kwenye mashindano ya Australian Open.
Serena amemshinda dada yake kwa seti 6-4 6-4, na kufikisha mataji ya grand slam 23.
Kwa ushindi huo, mchezaji huyo wa Marekani amechukua taji lake mchezaji nambari moja wa mchezo huo lililokuwa ikishikiliwa na Mjerumani, Angelique Kerber.
Mchezaji wa Australia Margaret Court, mwenye vikombe 24, ndiye mchezaji pekee aliye juu ya Serena katika mataji Grand Slam ya mchezaji mmoja mmoja.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.