| 'TEAM SEGA' na zawadi zao. |
| Meneja wa BOA Bank Tawi la Mwanza Bi. Lilian akitoa neno la shukurani jinsi gani alivyoguswa kujitoa kwaajili ya watoto wakituo hicho. |
| Marafiki wa Jembe Fm wa ndani na nje ya nchi nao hawakubaki nyuma kushiriki nasi kuhakikisha watoto wanaifurahia siku yao. |
| Keki yakuukaribisha mwaka kituo cha kulea watoto wadogo iliyoandaliwa na TEAM SEGA kwa hisani ya Jembe Fm 93.7 |
| Jiografia ya eneo la tukio. |
| Kila mdau wa TEAM SEGA alijibidiisha na mtoto wake. |
| Sasani muda wa kukata keki. |
| Nilishe nikulishe ya viongozi. |
| Sasa ni zamu yamama mlezi. |
| Wadau marafiki wa Jembe Fm na TEAM SEGA. |
| Tamu.......... |
| Mwenyekiti msaidizi wa TEAM SEGA ambaye ni mtangazaji Johari Ngassa akimlisha keki mmoja wa watoto wa kituo. |
| Upendo wa dhati |
| Sasa ni zamu ya G Sengo. |
| PAMOJA SANA. |
| Ni raha tele kituoni hapa kwa siku ya leo. |
| Mazingira ya ndani kituoni. |
Tunawashukuru wadau wote kwa kutumia muda wenu na nafasi zenu kuhakikisha hili linafanikiwa kwa kiwango kikubwa.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment