ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 4, 2016

RAIS MAGUFULI ALIPOONGEA NA WANAHABARI.

Rais Magufuli akijibu swali la Dkt. Ayoub Ryoba kuhusu kujitathmini toka alipongia madarakani mwaka jana. 

Rais Magufuli Akijibu Swali Kuhusu Rushwa Na Ufisadi Nchini.
Rais Magufuli akifafanunua juhudi za serikali ya awamu ya tano katika kupambana na rushwa na ufisadi nchini pamoja na madawa ya kulevya.
Tanzania Ya Viwanda.
Kauli Ya Rais Magufuli kuhusu serikali ya awamu ya tano kutimiza ndoto ya Tanzania ya viwanda kwa uchumi bora wa nchiFahamu kauli ya Rais John Magufuli kuhusu suala la ajira mpya wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari Ikulu Dar es Salaam. 
Waandishi Watakiwa Kutumia Vizuri Kalamu Zao.
Rais Magufuli akiwataka wanahabari nchini kutumia vyema kalamu zao kuchagiza shughuli za kimandeleo nchini. 
Rais Magufuli Na Michezo Nchini.
Fahamu kauli ya Rais Magufuli kuhusu suala la michezo nchini wakati wa mkutano wake na wanahabari Ikulu jijini Dar es Salaam.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.