.......Baada ya kukushika vilivyo mdau wetu kupitia kipindi chako cha #SPORTSRIPOTI ya JEMBE FM kinachoruka saa 3 hadi 4 usiku.
Sasa kamata nyongeza nyingine ya habari na uchambuzi wa kispoti toka kwetu. Kwa style mpyaaaa yenye mvuto wa kipekee. Kila jumamosi saa 2 kamili hadi 4 asubuhi, #SPORTSRIPOTI ikibaki pale pale Ungana na @jumaayoo + @elikanamathias featuring @gsengo
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment