Mwanamuziki nguli wa muziki wa asili toka nchini Tanzania Saida Karoli amesema kwamba asingekuwa hapo alipo (katika umasikini) zaidi ya kuwa mtu mkubwa mwenye msaada kwa jamii ya sasa kwani katika zama zake za kuwika mapromota wote aliofanya kazi nao walimtumia kujinufaisha huku wakimuacha yeye akiambulia patupu kwa kupewa visenti vidogo visivyo na tija kwenye maisha yake ya baadae.
Akizungumza na Kipindi cha Hit Zone kinachorushwa kila siku za jumatatu hadi ijumaa ndani ta Jembe Fm Mwanza wakati akihojwa na Natty E Saida Karoli alifunguka hivi. BOFYA PLAY KUMSIKILIZA.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.