Mwanamuziki nguli wa muziki wa asili toka nchini Tanzania Saida Karoli amesema kwamba asingekuwa hapo alipo (katika umasikini) zaidi ya kuwa mtu mkubwa mwenye msaada kwa jamii ya sasa kwani katika zama zake za kuwika mapromota wote aliofanya kazi nao walimtumia kujinufaisha huku wakimuacha yeye akiambulia patupu kwa kupewa visenti vidogo visivyo na tija kwenye maisha yake ya baadae.
Akizungumza na Kipindi cha Hit Zone kinachorushwa kila siku za jumatatu hadi ijumaa ndani ta Jembe Fm Mwanza wakati akihojwa na Natty E Saida Karoli alifunguka hivi. BOFYA PLAY KUMSIKILIZA.
MCHUNGAJI MUTURI: KANISA LISIHUSIKE NA SIASA
-
Na Mwandishi Wetu
VIONGOZI wa dini katika madhebu mbalimbali nchini wameshauriwa wasiwe
wanasiasa na wala kuwa sehemu ya kuwa wachochezi kwani wao ni sehem...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.