Mwanamuziki nguli wa muziki wa asili toka nchini Tanzania Saida Karoli amesema kwamba asingekuwa hapo alipo (katika umasikini) zaidi ya kuwa mtu mkubwa mwenye msaada kwa jamii ya sasa kwani katika zama zake za kuwika mapromota wote aliofanya kazi nao walimtumia kujinufaisha huku wakimuacha yeye akiambulia patupu kwa kupewa visenti vidogo visivyo na tija kwenye maisha yake ya baadae.
Akizungumza na Kipindi cha Hit Zone kinachorushwa kila siku za jumatatu hadi ijumaa ndani ta Jembe Fm Mwanza wakati akihojwa na Natty E Saida Karoli alifunguka hivi. BOFYA PLAY KUMSIKILIZA.
DCEA Yateketeza Ekari 157 za Bangi Kondoa
-
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa
kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kondoa pamoja na
wananchi wa Kata...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.