![]() |
| Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana Edward akiwa na washindi wanne wa kwanza katika kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2016 jiji Mwanza usiku wa kuamkia leo. |
| Washiriki wa shindano la Miss Tanzania 2016, wakiwa katika Opening Dance kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2016 kilichofanyika jiji Mwanza usiku wa kuamkia leo. |
| Kiafrika zaidi ndani ya shindano. |
| Ubunifu wa hali ya juu. |
| Selebuka. |
| Msanii wa muziki wa Ragga, Cooly Chata akifanya yake katika jukwaa la kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2016 jiji Mwanza usiku wa kuamkia leo. |
| Watu wamejitokeza kiasi kikubwa. |
| Ubunifu na avazi................ |
| Mchuano ulikuwa mkali sana. |
| Moja ya mavazi yalio tikisa. |
| Mavazi na ubunifu. |
| So beautifully |
| Zaidi ya ubunifu. |
| Beautiful. |
| Beautiful colour. |
| Hii ndiyo jiografia ya engo ya viwanja vay Furahisha katika kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2016 jiji Mwanza usiku wa kuamkia leo. |
| Jimmy Chansa |
| Umdhaniaye .....hayawi hayawi |
| Ni mmoja tu............... |
| Top 15 wanatajwa ile hali wa-tano wao wanatinga hatua hiyo kwa sifa za kufuzu kupitia ubalozi wa mashirika na makampuni mbalimbali waliyoshirikiana nayo katika zama za maandalizi kueekea gainali. |
| Top 15 ndiyo hawa. |
| Top 5 ndiyo hii |
| Majaji kikazi zaidi. |
| Christian Balla |
| F&P Flora na rafiki yake Pamela nao ni sehemu ya Kamati ya maandalizi ya Miss Tanzania 2016. |
| Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela (kulia mbele) akiwa na rafiki yake Kamanda wa Jemshi la polisi mkoa wa Mwanza Afande Msangi. |
![]() |
| Meza hii ndipo alipoketi Mkurugenzi wa Jembe Media Group Dr. Sebastian Ndege (katikati mwenye tai) , Wema Sepetu na Eddie Jembe (kulia) . |
| Baada ya kumalizika kwa maswali, majibu sasa ikawa ni fursa ya mrembo aliyekuwa anashikilia taji. |
| Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana Edward akiwapungia Mkono wanachi mara baada ya kuvishwa taji la Miss Tanzania 2016. |
| Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana Edward akiwapungia Mkono wanachi mara baada ya kuvishwa taji la Miss Tanzania 2016. |
| Watu na kumbukumbu zao. |
Tupe maoni yako



0 comments:
Post a Comment