ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, October 24, 2016

WAREMBO MISS TANZANIA 2016 WAONJA UTALII WA MWANZA = WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA KABILA LA WASUKUMA (BUJORA)

 Mshiriki No 6 Sia Pius kutoka Kinondoni akiwa amebeba nyoka katika Hifadhi ya Makumbusho ya Kabila la Wasukuma Bujora jijini Mwanza.
 Mama weeeeeEEEEE...... Mshiriki No 5 Hafsa Mahamudy mwingine kutoka Kinondoni akiwa amebeba nyoka katika Hifadhi ya Makumbusho ya Kabila la Wasukuma Bujora jijini Mwanza.
 Mshiriki No 13 Spora E. Luhende kutoka Ilala ndiye aliyeonyesha ujasiri akiwa amebeba nyoka katika Hifadhi ya Makumbusho ya Kabila la Wasukuma Bujora jijini Mwanza.
 Hisia zinasomeka ..........................za Mshiriki No 15 Queen Nazir kutoka Ilala, hivi hapa alikuwa amebeba au amebebeshwa Wow....Jeh wewe waweza hii? Ni katika Hifadhi ya Makumbusho ya Kabila la Wasukuma Bujora jijini Mwanza.
 Mawe haya yalitumika kale kama sehemu maalum ya kusagia nafaka kama karanga, mahindi na kadhalika ni katika Hifadhi ya Makumbusho ya Kabila la Wasukuma Bujora jijini Mwanza.
 Pia warembo hao washiriki wa kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2016 walipata nafasi kutembezwa na kupewa darasa ya tamaduni asilia za Kabila la Wasukuma Bujora jijini Mwanza.
Ngoma.
Ngoma na ushindani ......Sukuma Dance.
Show time.
Ngoma za historia.
Ramani ya Sukuma Land.
Mmoja wa waratibu wa Miss Tanzania 2016 Flora Lauwo akiteta na waandishi wa habari.
Washiriki katika picha ya pamoja ndani ya Bujora.
Washiriki wa Miss Tanzania 2016 leo wametinga rasmi katika hoteli yao ya mwisho kuweka kambi kabla ya fainali hapa naizungumzia Lahe Hotels iliyoko  Mwanza.
Mpiga picha wa Gsengo Blog Zephania Mandia (kushoto) akipata uphoto na mmoja wa wapiga picha waandamizi.
Mazingira ya Lahe Hotels Mwanza.
Kutoka uwanda wa Juu at Lahe Hotels Mwanza.
Pozi at Lahe Hotels Mwanza.
Swimming Pool ya Lahe Hotels Mwanza.
Mkurugenzi wa Lahe Hotels (wa kwanza kushoto) baadhi ya wanyange wa Miss Tanzania 2016 (walio simama katikati) Mwanakamati wa Bodi ya Utalii mwakilishi wa Mwanza (kulia) na watalii walio fikia hotelini hapo. 
Kutoka juu mzingira ya Lahe Hotels.
Relax and feel free, sleep on our hotel for total comfortability, don't hesitate to visit us and spend your time effectively...
Whether you are here for business or leisure, Our bar has most of it, many international beverages are found here...

KUJUA ZAIDI KUHUSU LAHE HOTELS BOFYA HAPA http://www.lahehotels.co.tz/

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.