Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameagiza viongozi wote wa Serikali walioalikwa kuhudhuria sherehe za Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa zitakazofanyika tarehe 14 Oktoba, 2016 katika Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu kutohudhuria sherehe hizo na wale ambao walishalipwa fedha ya posho na safari kwa ajili hiyo wazirejeshe.
WASHAWISHIKA NA MANENO YA LISSU, SHAHIDI AELEZA
-
SHAHIDI wa tisa katika kesi hiyo, Ofisa wa Jeshi la Polisi ASP Geofrey
Lutufye (47), ameieleza Mahakama kuwa vijana wawili waliokamatwa walikiri
kusha...
0 comments:
Post a Comment