Makonda aliahidi kujenga ofisi hizo za kisasa zenye ghorofa tatu zitakazogharimu Sh5 bilioni.
Hata hivyo, Makonda alisema hatishiki na hali hiyo, bali atazidi kumuomba Mungu ili afanikiwe katika jitihada zake za kuwaletea maendeleo wakazi wa Dar es Salaam.
Alitoa kauli hiyo jana alipohudhuria kikao cha kutambulisha safu mpya ya viongozi wa Baraza la Vijana la Jumuiya ya Waislamu wa Dar es Salaam kilichofanyika Ukumbi wa Anatouglo.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.