Mtoto mwenye matatizo ya akili afungiwa ndani kwa zaidi ya miaka 5 eneo la Kijitonyama Alimaua B DSM. Mtoto mwenye matatizo ya akili afungiwa ndani ya nyumba kwa zaidi ya miaka 5 eneo la mtaa wa Kijitonyama Alimaua B Dar es Salaam kutokana na kile kinachoelezwa na mzazi wake kuwa hana uwezo wa kumsaidia.
Rais Samia amteua Dkt. Tausi Kida kuwa Katibu Mkuu
-
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amefanya mabadiliko ya muundo wa Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji
ambapo amem...
0 comments:
Post a Comment