Mtoto mwenye matatizo ya akili afungiwa ndani kwa zaidi ya miaka 5 eneo la Kijitonyama Alimaua B DSM. Mtoto mwenye matatizo ya akili afungiwa ndani ya nyumba kwa zaidi ya miaka 5 eneo la mtaa wa Kijitonyama Alimaua B Dar es Salaam kutokana na kile kinachoelezwa na mzazi wake kuwa hana uwezo wa kumsaidia.
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment