Mtoto mwenye matatizo ya akili afungiwa ndani kwa zaidi ya miaka 5 eneo la Kijitonyama Alimaua B DSM. Mtoto mwenye matatizo ya akili afungiwa ndani ya nyumba kwa zaidi ya miaka 5 eneo la mtaa wa Kijitonyama Alimaua B Dar es Salaam kutokana na kile kinachoelezwa na mzazi wake kuwa hana uwezo wa kumsaidia.
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
0 comments:
Post a Comment