ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 16, 2016

HARUSI YA MASANJA MKANDAMIZAJI AGOSTI 14.

WhatsApp Image 2016-08-15 at 8.20.19 AM
Agosti 14, 2016 mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya maarufu Masanja Mkandamizaji alifunga ndoa jijini Dar es Salaam. Harusi hiyo ilihudhuriwa na watu mbalimbali na ilipambwa na vichekesho kutoka kwa waigizaji wenzake. Hapa chini ni video za namna ilivyokuwa katika harusi hiyo. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.