Katika hafla hiyo mgeni rasmi alitarajiwa kuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ambapo baadhi ya wanafunzi wamekamatwa baada ya kuwambiwa watawanyike na kurudi majumbani kwao.
![]() |
Polisi wamesema mikusanyiko yote ya kisiasa ilishapigwa marufuku, hivyo hata mahafali hiyo ilikuwa batili. |
PICHA ZA MKUTANO WA CHADEMA DAR ES SALAAM.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.