ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, June 4, 2016

KWA HERI MOHAMMED ALI AFARIKI DUNIA




🐯 Hii namba ilikuwa inawachapa sana kinowmerNowmer wenzake ila kuna pambano moja tu ambalo alishinda kwa zilizo la mentali, ndio ni pambano lililofanyika mwaka 1975 jijini manilla Liliitwa Thrilla in Manila. Alipambana na mwanaume mwingine aitwae Hayati Joe Frieza(Joe smoker), Hili ndilo pambano gumu zaidi kwa Mohammed Ali, Walipambana kama wanauwana, ilikuwa hatari sana ila Ilipofika raundi kama mbili za mwisho, Joe Frieza hakurudi ulingoni, Mohammed akatangazwa mshindi, alipohojiwa baada ya ushindi akasema, Hata mm kama Joe angerudi ulingoni nisingeweza kuendelea. Na mpaka Leo hii Hayati Joe Frieza anaaminika kuwa mwanadamu aliyemfanya Mohammed Ali azitolee jasho hela zake... RIP The greatest king of all time Muhammad Ali. 👑.... 📌

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.