☀☀Dancehall & Ragga ni kama imeacha mizizi yake ya kudumu Kanda ya Ziwa toka zama na zama hadi akina Hardmad, Kid Bway, Jet Man, Lango Lango Crew na wengine kibao wanaotamba hadi leo na kizazi cha leo... Alaaa hebu wacha moto 🔥🔥uwake na mkali mwingine huyu hapa ambaye pia ni bonge la pRIZENTa @jembefm #RIDDIMzoNe wakuitwa @coolcharter47 Nyegezi itawakilishwa na kipaji hiki kwenye stage ya kijanja #JembekaFestival2016 CCM Kirumba Mwanza 21May2016 #JembekaNaVodacom #JembekaNaCocaCola @jembenijembe ☀ Hebu mtag rafikiyo askosekane sku-HiYo 🎼
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.