Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Iringa Ndg.Sinkala Mwenda amepata ajali jana jioni eneo la Tanangozi na kukimbizwa Hospitalini kwa ajili ya matibabu. Alifariki dunia muda mfupi wakati madaktari wakijitahidi kuokoa uhai wake. Pumzika kwa amani Kamanda Sinkara.! Habari zaidi tutaendelea kuwapatia.
SERIKALI YAELEZA DHAMIRA YA KUWAWEZESHA VIJANA
-
Na Asia Singano na Josephine Majura, WF, Mwanza.
SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuwawezesha vijana kiuchumi
kupitia sera na mipango mbalimb...
SERIKALI YAELEZA DHAMIRA YA KUWAWEZESHA VIJANA
-
Na Asia Singano na Josephine Majura, WF, Mwanza.
SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuwawezesha vijana kiuchumi
kupitia sera na mipango mbalimbali...
SERIKALI YAELEZA DHAMIRA YA KUWAWEZESHA VIJANA
-
Na Asia Singano na Josephine Majura, WF, Mwanza.
SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuwawezesha vijana kiuchumi
kupitia sera na mipango mbalimb...
0 comments:
Post a Comment