Wakazi wa jiji la Dar es salaam wanaomiliki silaha kihalali wametakiwa kwenda vituo vya polisi kuhakiki silaha zao ndani ya siku 90 na wale wanaomiliki silaha hizo bila kibali kuzisalimisha kabla ya operesheni maalum ya kusaka silaha hizo kuanza.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.