Timu ya Simba yaitandika timu ya Mbeya City kwa jumla ya goli 2-0 katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliofanyika hii leo jijini Dar es Salaam Benchi la ufundi la timu ya taifa ya soka ya wanawake Twiga Stars limesema Twiga Stars bado inanafasi kubwa ya kusonga mbele katika michuano ya awali ya kuwania. nafasi ya kushiriki michuano ya Afrika kwa wanawake
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
0 comments:
Post a Comment