Timu ya Simba yaitandika timu ya Mbeya City kwa jumla ya goli 2-0 katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliofanyika hii leo jijini Dar es Salaam Benchi la ufundi la timu ya taifa ya soka ya wanawake Twiga Stars limesema Twiga Stars bado inanafasi kubwa ya kusonga mbele katika michuano ya awali ya kuwania. nafasi ya kushiriki michuano ya Afrika kwa wanawake
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.