ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, March 30, 2016

KATIKA SAUTI HIVI NDIVYO ZIARA YA KWANZA YA RAIS MAGUFULI MKOANI MWANZA ILIVYOKUWA. KITI ALICHOKALIA MGAHAWANI CHAGEUKA KUWA DILI.


Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli alipita mkoani Mwanza kuelekea Chato mkoani Geita kwaajili ya mapumziko mafupi ...Lakini Rais huyo akiwa  katika uwanja wa ndege wa Mwanza ulioko wilayani Ilemela alihusika na matukio kadhaa yaliyoacha simulizi ambayo ndani yake yametengeneza historia kwa waliopata kuwa viongozi wa Taifa hili la Tanzania. BOFYA PLAY KUSIKILIZA TAARIFA KAMILI.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.