Majambazi wavamia benki wakiwa na silaha na mabomu, Mabosi taasisi ya elimu watumbuliwa, Polisi auwawa, ni Arsenal vs Manchester united leo. Tazama magazeti ya leo. Ukawa waituhumu CCM uchaguzi wa Meya Dar, Maafisa taasisi ya elimu watumbuliwa, Majambazi wavamia benki na kuua 7. Furahia uchambuzi wa magazeti.
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
-
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika
jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani
kwa ...
0 comments:
Post a Comment