Majambazi wavamia benki wakiwa na silaha na mabomu, Mabosi taasisi ya elimu watumbuliwa, Polisi auwawa, ni Arsenal vs Manchester united leo. Tazama magazeti ya leo. Ukawa waituhumu CCM uchaguzi wa Meya Dar, Maafisa taasisi ya elimu watumbuliwa, Majambazi wavamia benki na kuua 7. Furahia uchambuzi wa magazeti.
BAOBAO wakutana na NBAA, wapatiwa elimu ua Uhasibu
-
*Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu
Tanzania (NBAA), CPA Prof. Siasa I. Mzenzi akizungumza na wanafunzi wa
Kidato cha ...
0 comments:
Post a Comment