Timu ya Azam FC yalazimishwa sare tasa na timu ya Prisons ya jijini Mbeya katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliofanyika hii leo jijini Mbeya. Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akili timu yake kuzidiwa maarifa na wapinzani wao klabu ya Barcelona katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani ulaya uliomalizika kwa Arsenal kufungwa goli 2-0
JAS yafanya kikao cha kufunga Mwaka 2025
-
Na Mwandishi Wetu Morogoro 27 Disemba, 2025.
Jumuiya ya Wanafunzi ya Jiba Active Students (JAS) imefanya kikao maalum
cha kufunga shughuli za Mwaka 2025...
0 comments:
Post a Comment