Timu ya Azam FC yalazimishwa sare tasa na timu ya Prisons ya jijini Mbeya katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliofanyika hii leo jijini Mbeya. Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akili timu yake kuzidiwa maarifa na wapinzani wao klabu ya Barcelona katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani ulaya uliomalizika kwa Arsenal kufungwa goli 2-0
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.