ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, January 20, 2016

DAKTARI FEKI ANASWA HOSPITALI YA MKOA WA MWANZA.

Daktari feki kakamatwa mchana kweupeeee Hospitali ya mkoa wa Mwanza Sekeutoure..... jamaa amekuwa hospitalini hapo kimtindo akipiga mzigo zaidi ya mwezi mzima, huku akitoa huduma zake feki za uigizaji bila kustukiwa na akijimix na madaktari wa ukweli hospitalini hapo. 

Kwamujibu wa wagonjwa na ndugu waliokuwa wakifika hospitali wanasema 'Jamaa amekuwa akiwatoza fedha wagonjwa kwa kuwaahidi kuwafanyia operation au kuwaharakishia oparesheni wakati sio mwanataaluma. (BOFYA PLAY KUSIKILIZA)


ILI KUPATA HABARI ZAIDI SIKILIZA JEMBE HABARI kila siku saa moja asubuhi (07:00), kumi kamili (16:00) na saa moja jioni (19:00) ukiwa na @harith_jaha / @elikanamathias na @mustafakinkulah Tupate popote ulimwenguni kupitia Google play store kwa kusachi JEMBE Fm kisha sikiliza LIVE kupitia simu yako ya mkononi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.