![]() |
| Bwana Jonas Songora na Bi. Benitha Tebuka wakiwa katika red carpet kwenye ukumbi wa sherehe Gold Crest Mwanza, baada ya kufunga ndoa takatifu katika kanisa la AICT Makongoro jijini humo. |
![]() |
| Wakivalishana pete kuwa mwili mmoja... |
![]() |
| Vyeti vya ndoa.....!! |
![]() |
| WapambeZ...! |
![]() |
| Bi harusi Benita Tebuka katika pozi na dadaz kabla ya sherehe. |
![]() |
| Zwanga photo na Selfie... |
![]() |
| Mke ni pambo..... |
![]() |
| Who is next? |
![]() |
| Jonas & Benitha. |
![]() |
| Siku ya Furaha yenye historia. |
![]() |
| Mr & Mrs David Simba ndiyo waliopata dhamana ya kusimamia harusi hiyo. |
![]() |
| Jonas & Benitha take one. |
![]() |
| Jonas & Benitha take two. |
![]() |
| Wow...that's good muonekano. |
![]() |
| Men in Black. |
![]() |
| Matayarisho kuelekea sherehe ya harusi... |
![]() |
| Taswira adimu. |
![]() |
| Ninyweshe nikunyweshe....Furahia utamu wake. |
![]() |
| The cake. |
![]() |
| Hatariiiiii... |
![]() |
| Engo adimu. |
![]() |
| Furaha wacha itawale. PICHA NA ABC STUDIO MWANZA. ILI KUPENDEZESHA HARUSI YAKO BASI TUWASILIANE. |
Tupe maoni yako






















0 comments:
Post a Comment