Mhe. Mbowe ahoji juu ya suala la la jeshi la polisi kuweka makatazo kwa baadhi ya vyama vya kisiasa kutokufanya kazi za kisiasa. Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa atoa ufafanuzi juu ya namna ya kuboresha ukusanyaji wa mapato mbalimbali.
HAMASA YA UTALII WA NDANI DODOMA HAKUNA KULALA.
-
Ofisi kiunganishi wa Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro iliyopo Dodoma
imeendelea kufikia makundi mbalimbali ya taasisi za umma na binafsi, shule
pamoja na...
Washindi Tuzo ya Mwalimu Nyerere 2026 Watangazwa
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*Washindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kwa mwaka
2026 wametangazwa rasmi katika hafla iliyo...
0 comments:
Post a Comment