ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 24, 2015

MSAKO KWA KAYA ZISIZO NA VYOO WAANZA JIJINI MWANZA.

Mkurugenzi wa jiji la Mwanza Adam Mgoyi akitoa tamko kuhusu suala la ugonjwa wa kipindupindu na namna Halmashauri ya jiji hatua inazo chukua juu ya wale wote watakao endelea kuuza vyakula sehemu zisizo rasmi kuchukuliwa hatua kali. Pia Mkurugenzi amewataka wale ambao wanaishi kwenye nyumba ambazo hazina vyooo basi wajengee mara moja kwani msako unaanza na atakae bainika kuwa nyumba yake haina choo atashughulikiwa mara 1

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.