Kitendawili cha Rais Magufuli hatimaye chateguliwa, amteua Mh.Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. BOFYA VIDEO KUSIKIA KILICHOJIRI HAPA BUNGENI DODOMA LEO.
Mbunge wa Jimbo la Sumve Mhe. Richard Ndassa akizungumza na Mwakilishi wa Jembe Fm 93.7 Albert G. Sengo pamoja na mwanahabari James George wa Star Tv kutoka katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Waheshimiwa wabunge wakitete na mdau wa Habari mkongwe ambaye pia ni Blogger maarufu Afrika Issa Michuzi wa Michuzi Jr.
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.