Kitendawili cha Rais Magufuli hatimaye chateguliwa, amteua Mh.Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. BOFYA VIDEO KUSIKIA KILICHOJIRI HAPA BUNGENI DODOMA LEO.
Mbunge wa Jimbo la Sumve Mhe. Richard Ndassa akizungumza na Mwakilishi wa Jembe Fm 93.7 Albert G. Sengo pamoja na mwanahabari James George wa Star Tv kutoka katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Waheshimiwa wabunge wakitete na mdau wa Habari mkongwe ambaye pia ni Blogger maarufu Afrika Issa Michuzi wa Michuzi Jr.
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
0 comments:
Post a Comment