ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 27, 2015

MWILI WA MAWAZO SASA KUAGWA RASMI KESHO JUMAMOSI MWANZA

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Salum Mwalimu.
Wanachama wa Chadema mkoani Mwanza wanatarajia kuuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo siku ya kesho Jumamosi kabla ya kusafirishwa kwenda mkoani Geita;
Mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Geita Alphonce Mawazo kesho utaagwa katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza na Baadaye kusafirishwa kupelekwa mkoani Geita kwa maandalizi ya mazishi.

Mwili huo ulitakiwa kuagwa jumamosi iliyopita zoezi ambalo lilikwama baada ya zuio la Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza kabla ya Mahakama kuu kutengua Pingamizi hilo mapema jana. BOFYA PLAYA KUSIKILIZA RATIBA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.