Matokeo ya uchaguzi Mkuu zanzibar yamefutwa ambapo moja kati ya sababu zilizotajwa za kufutwa matokeo hayo ni pamoja na ukiukwaji wa taratibu na sheria za uchaguzi ikiwemo ya Mgombea wa CUF kujitangazia matokeo. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha ametangaza kufutwa kwa uchaguzi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mpaka hapo itakapo tangazwa tena.
Vita vya Iran vyachangia kupanda kwa bei ya kondomu
-
Kampuni ya Carix, mojawapo ya kampuni kubwa ambazo hutengeneza mipira ya
kondomu, imetangaza kuwa itaongeza bei ya bidhaa hizo kwa 30% au zaidi
iwapo vita ...
WAZIRI MKUU: TUEPUKE MIGOGORO NA MIZOZO
-
-Asema kuna miradi inakwama utekelezaji sababu ya migawanyiko
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka viongozi wa Mamlaka za Serikali
za Mitaa waepuke m...
0 comments:
Post a Comment