Matokeo ya uchaguzi Mkuu zanzibar yamefutwa ambapo moja kati ya sababu zilizotajwa za kufutwa matokeo hayo ni pamoja na ukiukwaji wa taratibu na sheria za uchaguzi ikiwemo ya Mgombea wa CUF kujitangazia matokeo. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha ametangaza kufutwa kwa uchaguzi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mpaka hapo itakapo tangazwa tena.
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, i...
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, ik...
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, ikisisitiza kuwa Tanzania inatambua thamani
kubwa ya ra...
Unaweza kuzitambua video zilizotengenezwa kwa AI?
-
Mojawapo ya ishara za wazi ni pale unapoona video yenye ubora hafifu iwe
yenye ukungu, au ukijani hilo linapaswa kukupa tahadhari kwamba huenda
unatazama v...
0 comments:
Post a Comment