ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 11, 2015

USIKU WA HILDA TEMU KATIKA SHEREHE YA KUMUAGA (SEND-OFF PARTTY) KATIKA UKUMBI WA DOLPHINE DAR ES SALAAM ]

Bi Harusi Hilda katika pozi kabla ya kuingia Ukumbini (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Bi Harusi mtarajiwa Hilda akiwa amepozi na Matroni wake Felister Mramba, wakati wa Sherehe yake inayo endelea sasa hivi katika ukumbi wa Dolphine


Bi Harusi mtarajiwa akipambwa kabla ya kwenda katika Sherehe yakea ambayo inarindima mida hii katika Ukumbi wa Dolphine.


 Bi Harusi Hilda akiwa katika picha na Matroni.



Glory Temu (kushoto) akiwa amemkumbatia shangazi yake ambaye ni Bi Harusi mtarajiwa Hilda Temu,  kabla ya kuingia Ukumbini.







TEMBELEA UJIJIRAHAA BLOG

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.