Pichani ni Mwalimu Hosea Daniel kutoka Kituo cha Masomo ya Ziada (Tuition) kiitwacho Foluma Tuition Centre kilichopo Tarime Mkoani Mara akiwa darasani.
Na:Binagi Media Group
Mwl.Daniel anasema kuwa Masomo ya ziada ni mhimu kwa mwanafunzi kwa kuwa husaidia katika kukuza uelewa na ufahamu kwa mwanafunzi na hivyo kuongeza ufaulu kwa mwanafunzi.
Pichani ni Mwalimu Hosea Daniel kutoka Kituo cha Masomo ya Ziada (Tuition) kiitwacho Foluma Tuition Centre kilichopo Tarime Mkoani Mara akiwa darasani.
Kushoto ni Madam Elizabeth Daniel akiwa pamoja na Mwalimu Hosea Daniel. Wote ni kutoka Kituo cha Masomo ya Ziada (Tuition) kiitwacho Foluma Tuition Centre kilichopo Tarime Mkoani Mara akiwa darasani.
Kutana na Mwl.Hosea Daniel, Madam Elizabeth Daniel, Mwl.Evance Malaba pamoja na Mwl.Malima Mjinja kwa maendeleo ya mwanao kielimu.
0755 77 82 47
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.