ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 8, 2015

TANGAZO LA KAZI

Kampuni ya NOFO ya jijini Dar es Salaam, inayojihusisha na uchapishaji na uuzaji wa vitabu vya hadithi za watoto, inatangaza nafasi kumi za kazi ya afisa masoko. Wenye sifa zifuatazo watume maombi kupitia baruapepe ndejarini@gmail.com kwenda kwa GENERAL MANAGER, NOFO, DSM
(1)    Shahadaya kwanza au stashahada ya juu ya biashara katika masoko
(2)    Uelewa mzuri na ueledi wa kuimarisha na kupanua wigo wa masoko
(3)    Ari na moyo wa kufikia malengo uliyo wekewa
(4)    Uwezo wa kujieleza vizuri mbele ya watu wengi

Mwisho wa kupokelewa kwa

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.