Sehemu ya pili ya mazungumzo yangu na mchezaji wa zamani wa timu za Cop United, Pamba zote za jijini Mwanza pamoja na Simba ya jijii Dare es salaam Juma Amir Maftah al-maarufu kama Pellewa Mwanza, hii hapa. Aeleza visa vitamu na vichungu katika soka. Jeh Ni tukio gani lililo muumiza na hato lisahau? Soka la Mwanza limekwama wapi? Jeh Nani amemuandaa kurithi kipaji chake? BOFYA PLAY KUSIKILIZA.
WATANZANIA WATAKIWA KUULINDA MUUNGANO
-
*Na Oscar Assenga,TANGA*
*WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuenzi na kuulinda Muungano uliopo hapa
nchini ambayo ni tunu kubwa ilioachiwa na Waasisi wa Tai...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.