Sehemu ya pili ya mazungumzo yangu na mchezaji wa zamani wa timu za Cop United, Pamba zote za jijini Mwanza pamoja na Simba ya jijii Dare es salaam Juma Amir Maftah al-maarufu kama Pellewa Mwanza, hii hapa. Aeleza visa vitamu na vichungu katika soka. Jeh Ni tukio gani lililo muumiza na hato lisahau? Soka la Mwanza limekwama wapi? Jeh Nani amemuandaa kurithi kipaji chake? BOFYA PLAY KUSIKILIZA.
Benki ya Absa Tanzania yang'ara tuzo za NBAA
-
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia),
akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha...
Benki ya Absa Tanzania yang'ara tuzo za NBAA
-
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia),
akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha
ka...
0 comments:
Post a Comment