Sehemu ya pili ya mazungumzo yangu na mchezaji wa zamani wa timu za Cop United, Pamba zote za jijini Mwanza pamoja na Simba ya jijii Dare es salaam Juma Amir Maftah al-maarufu kama Pellewa Mwanza, hii hapa. Aeleza visa vitamu na vichungu katika soka. Jeh Ni tukio gani lililo muumiza na hato lisahau? Soka la Mwanza limekwama wapi? Jeh Nani amemuandaa kurithi kipaji chake? BOFYA PLAY KUSIKILIZA.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment