ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 21, 2015

JEMBE HABARI: MWENYEKITI WA BAVICHA (CHADEMA) ALIYETEKWA APATIKANA AKIWA HOI, WATOTO WAUZWA WILAYANI KAHAMA

Je umeipata habari inayohusu watoto kutoka Burundi waliokamatwa wakisafirishwa kuelekea Tabora kwa ajili ya ajira ya kilimo?? Wamo pia watoto wa Kitanzania wote wakiwa na umri wa kati ya miaka tisa na 14. Jembe Habari imepiga hodi wilayani Kahama na kufanikiwa kumpata kamanda wa Polisi wilayani humo. 

Kwa undani zaidi jiunge na Harith Jaha itakapofika saa moja kamili jioni hii katika Jembe Habari ya 93.7 @jembefm Mwanza. BOFYA PLAY KUSIKILIZA 

Pia siku za juma kila saa moja kamili asubuhi, saa kumi kamili jioni na saa moja kamili jioni.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.