Je umeipata habari inayohusu watoto kutoka Burundi waliokamatwa wakisafirishwa kuelekea Tabora kwa ajili ya ajira ya kilimo?? Wamo pia watoto wa Kitanzania wote wakiwa na umri wa kati ya miaka tisa na 14. Jembe Habari imepiga hodi wilayani Kahama na kufanikiwa kumpata kamanda wa Polisi wilayani humo. Kwa undani zaidi jiunge na Harith Jaha itakapofika saa moja kamili jioni hii katika Jembe Habari ya 93.7 @jembefm Mwanza. BOFYA PLAY KUSIKILIZA Pia siku za juma kila saa moja kamili asubuhi, saa kumi kamili jioni na saa moja kamili jioni.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.