| Oxy Okeleky (kulia) akifanya mahojiano na mmoja wa wadau wajasiliamali wanaofanya shughuli ndani ya maonesho ya Nane nane ndani ya viwanja vya Nyamhongolo wilayani Ilemela jijini Mwanza. |
| Ufugaji na Kilimo umehusishwa ndani ya maonesho haya. |
| Kilimo kwa kutumia jembe la kukukotwa na ng'ombe. |
| Chriss The Dj toka Jembe Fm akiwa pamoja na Okeleky wakishangaa mashine ya kupukuchua mahindi katika banda la Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba. |
| Ufugaji wa samaki. |
| Ufugaji bora wa samaki na kware, ufugaji mseto samaki. |
| Ufugaji bora. |
| Mboga mboga. |
| Nyanya. |
| Shamba la mfano kilimo cha Mpunga. |
| Kabichi na aina zake. |
| Zao la pamba na wadudu waharibifu. |
| Kilimo cha nafaka, na changamoto zake ikiwa ni sanjari na elimu ya kukabiliana nazo. |
| Familia ya Jembe Fm na ukuaji wake. |
| Kutoka TBL hii ni Zagamba. |
| Matrekta. |
| Kutoka Kona ya Bujora Kisesa hawa ni vijana wapenzi wa kipindi cha ** KAZI NA NGOMA** |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment