ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 7, 2015

JEMBE FM YAZIDI KUNAKSHI MAONESHO YA NANE NANE MWANZA KIMAWASILIANO.

Oxy Okeleky (kulia) akifanya mahojiano na mmoja wa wadau wajasiliamali wanaofanya shughuli ndani ya maonesho ya Nane nane ndani ya viwanja vya Nyamhongolo wilayani Ilemela jijini Mwanza.
Ufugaji na Kilimo umehusishwa ndani ya maonesho haya.
Kilimo kwa kutumia jembe la kukukotwa na ng'ombe.
Chriss The Dj toka Jembe Fm akiwa pamoja na Okeleky wakishangaa mashine ya kupukuchua mahindi katika banda la Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba.
Ufugaji wa samaki.
Ufugaji bora wa samaki na kware, ufugaji mseto samaki.
Ufugaji bora.
Mboga mboga.
Nyanya.
Shamba la mfano kilimo cha Mpunga.
Kabichi na aina zake.
Zao la pamba na wadudu waharibifu.
Kilimo cha nafaka, na changamoto zake ikiwa ni sanjari na elimu ya kukabiliana nazo.
Mayai ya Kware, toka katika banda la Faith Poultry Fam.
Moja ya huduma wanazozitoa ni Kuzalisha na kukuza vifaranga vya Kware na mayai.
Kuuza vifaranga vya kuku wa kienyeji na chotara.
Kuuza majarida na vitabu vinavyoeleza ufugaji bora wa Kware.
Kutotolesha mayai ya kuku, kanga, kware na bata mzinga.
Familia ya Jembe Fm na ukuaji wake.
Kutoka TBL hii ni Zagamba.
Matrekta.
Kutoka Kona ya Bujora Kisesa hawa ni vijana wapenzi wa kipindi cha  ** KAZI NA NGOMA**
Mkurugenzi wa Jembe FM Dr. Sebastian Ndege (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wadau wa Mradi wa Viwanja Kisesa Isangijo vilivyopo kilimita 20 kutoka Mwanza mjini Barabara ya Musoma, pindi walipotembelea studio za Jembe Fm Mwanza.

Kutoka kushoto ni Damas Mwakindingo ambaye  ni Afisa Ardhi Mteule Magu, Ally Msoya Mkurugenzi Landspecs Developer LTD na kulia ni Simon Chuwa ambaye ni Technical Manager wa Landspecs Developer LTD.
PAMOJA SANA.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.