ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 11, 2015

MKUTANO WA NEC DODOMA: MEMBE APONGEZWA KUINGIA TANO BORA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akizungumza wakati wa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana. Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete na Makamu Mwenyekiti Visiwani na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein.
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete akizungumza wakati wa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Visiwani na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akipongezwa na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa baada ya kuteuliwa kuingia katika tano bora ya wawania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, kabla ya kuanza kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akipongezwa na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa baada ya kuteuliwa kuingia katika tano bora ya wawania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, kabla ya kuanza kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana.
Baadhi ya Wajumbe wa kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) (NEC) wakimpongeza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia), baada ya kuteuliwa kuingia katika tano bora ya wawania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, kabla ya kuanza kwa kikao cha NEC, katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha Rose Migiro wakipongezana baada ya kuteuliwa kuingia katika tano bora ya wawania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, kabla ya kuanza kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana.
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta (kushoto) akimpongeza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe  baada ya kuteuliwa kuingia katika tano bora ya wawania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, kabla ya kuanza kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.