ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 8, 2015

SIKU MOJA KABLA YA SHOW YA JEMBEKA MADNESS JJ BAND WAACHIA NGOMA MPYA.

Wakipata selfie na baadhi ya watangazaji wa Jembe Fm + Jembe DjZ ni JJ Band wanaotumbuiza kila wikiendi pale Jembe Beach Mwanza, ambapo leo mchana ndani ya Hit Zone wametambulisha single yao 'NISHIKE' mpya ya kwanza waliyoirekodi ndani ya studio za Efex Studios chini ya producer Tiddy Hotter . 
 BOFYA HAPA KUSIKILIZA KILICHOJIRI PAMOJA NA SINGLE HIYO MPYA.

Kuelekea show kali ya Jembeka Madnes itakayopigwa kesho pale Jembe Beach jijini Mwanza tayari wasanii wote toka Kenya wakiwemo Granpa Family wote wamekwisha wasili, pichani mkali anayetamba na trax kama Banjuka na nyingine kali kibaoooo DNA (kushoto) akihojiwa na watangazaji wa Hit Zone, kutoka kulia ni VC aka The Voice Characters, Jackline Shuma na Bonz, mwishoni kuleeeeeee ni The Chris Dj toka Jembe Djz.
Miamba kutoka kushoto ni Bonz, VC, DNA, Oxy, Dj David, Fred na Dj Chris.
See you there.....at Jembe Beach.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.