Wakipata selfie na baadhi ya watangazaji wa Jembe Fm + Jembe DjZ ni JJ Band wanaotumbuiza kila wikiendi pale Jembe Beach Mwanza, ambapo leo mchana ndani ya Hit Zone wametambulisha single yao 'NISHIKE' mpya ya kwanza waliyoirekodi ndani ya studio za Efex Studios chini ya producer Tiddy Hotter .
BOFYA HAPA KUSIKILIZA KILICHOJIRI PAMOJA NA SINGLE HIYO MPYA.
Kuelekea show kali ya Jembeka Madnes itakayopigwa kesho pale Jembe Beach jijini Mwanza tayari wasanii wote toka Kenya wakiwemo Granpa Family wote wamekwisha wasili, pichani mkali anayetamba na trax kama Banjuka na nyingine kali kibaoooo DNA (kushoto) akihojiwa na watangazaji wa Hit Zone, kutoka kulia ni VC aka The Voice Characters, Jackline Shuma na Bonz, mwishoni kuleeeeeee ni The Chris Dj toka Jembe Djz.
Miamba kutoka kushoto ni Bonz, VC, DNA, Oxy, Dj David, Fred na Dj Chris.
DKT. NCHEMBA AONGOZA MKUTANO WA WB KANDA YA AFRIKA
-
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akitoa wito kwa
taasisi za fedha za kimataifa kuongeza fedha kwaajili ya kuzisaidia nchi za
kipa...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.