ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 13, 2015

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAENDELE NA UCHUMI WA NCHI YA CAIRO MISRI.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri Mkuu wa Misri, Ebrahim Mehlep, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa ndege wa Sharm El- Sheikh, kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Kimataifa kuhusu maendeleo na Uchumi wa nchini Misri. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Misri, Ebrahim Mehlep, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa ndege wa Sharm El- Sheikh, jana kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Kimataifa kuhusu maendeleo na Uchumi wa nchini Misri. Picha na OMR
Mhe. Makamu wa Rais aliwasili jana na kupokelewa na mwenyeji wake.  Akifafanua kuhusu mkutano huo Dkt Bila alisema kuwa ‘’Misri ni wadau wetu katika maendeleo,  uhusiano kuwa mkutano huu utafungua fursa zaidi za uwekezaji baina ya nchi zetu.
Mkutano huo wa siku tatu utafunguliwa baadaye leo na Rais wa Misri Abdel Fahah  Sisi, na kuhudhuriwa na baadhi ya wageni mashuhuri kutoka Mataifa mbalimbali akiwamo Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.