![]() |
| Toto Africans yapanda ligi kuu soka Tanzania bara mwaka 2015 baada ya kuifunga Rhino Rangers ya Tabora bao 2-0. Mchezo uliohezwa katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. |
![]() |
| Kikosi cha Rhino Rangers. |
![]() |
| Mgeni rasmi Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Mhe. Stanslaus Mabula akisalimiana na wachezaji wa timu ya Rhino Rangers, kabla ya mchezo na Toto uwanja wa CCM Kirumba Mwanza. |
![]() |
| Meza kuu na salamu zao kabla ya mchezo. |
![]() |
| Team captain wa timu zote mbili na waamuzi. |
![]() |
| Mchezo ukiendelea. |
![]() |
| Mashabiki wa Toto Africans wakishangilia goli la Kwanza lililofungwa dakika ya 15 na Jafari Mohamed. |
![]() |
| Mwendo wa kushangilia. |
![]() |
| Mgeni rasmi Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Mhe. Stanslaus Mabula akifungua shampein kushangilia Toto Africans kurejea Ligi kuu. |
![]() |
| Benchi la Toto. |
![]() |
| Mashabiki na shangwe zao. |
![]() |
| Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya H. Baba alikuwa ni mmoja kati ya wachagizaji ushindi kwa timu yake ya nyumbani Toto Africans. |
![]() |
| Hureeee....!! |
![]() |
| H Baba na Bendera ya Toto. |
![]() |
| Picha ya pamoja .... |
Tupe maoni yako

















0 comments:
Post a Comment