Mchezo wa tatu sasa Kagera Sugar inapoteza, tangu ilipouteuwa uwanja wa CCM Kirumba kuwa uwanja wake wa Nyumbani kupisha ukarabati wa uwanja wa Kaitaba unaowekewa nyasi bandia sasa kwa msaada wa FIFA Katika mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara uliochezwa Kagera imetota mbele ya Ndanda Fc mara baada ya kufungwa 1-2. ZAIDI SIKILIZA YALIYOJIRI DIMBANI
LIGI MBALIMBALI ZA PESA KUENDELEA LEO
-
JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya jana kushuhudia mitanange
kibao ikipigwa. Leo hii kipute hicho kitaendelea kama kawaida timu kibao
leo...
JKT YAACHANA NA KUNI SASA NI MATUMIZI YA GESI
-
*Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya
Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiondoa kitambaa
tayari k...
MERIDIANBET MZIGO WA KUTOSHA JUMAMOSI HII
-
SEHEMU pekee ambapo kutakua na mkwanja wa kutosha Jumamosi hii ni pale
Meridianbet mabingwa wa michezo ya kubashiri, Kwani kupitia michezo
itakayopigw...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.