Kutoka WEUSI Joh Makini Mwamba wa Kaskazini akifanya makamuzi ndani ya 93.7 Jembe Fm Mwanza chini ya usaidizi wa shavu la Dj K.Flip ambaye time za mchana ndiyo mida yake. Pichani kwa mbaaali inaonekana namba mpya kali ya usajili 2014-2015 iliyosajiliwa toka Kiss Fm, Dj Davy wa jEMBe Djz. BOFYA PLAY SIKILIZA KILICHOKUWA KISIKIKA HEWANI
Mkali mwingine kutoka WEUSI G.Nako naye hii leo mapemaaaaaah..... kesha timba Rock City kwaajili ya Show kali ya Funga Mwaka 2014 itakayofanyika Jumamosi hii ya tarehe 22NOV2014 pale Jembe Beach Malimbe Mwanza kwa kiingilio cha shilingi 10,000/=
"Am among jEMBe dJz" Says Joh Makini.
Kushoto ni Producer wa Jembe Fm Okelecky akiwa na G Nako toka WEUSI.
HAKI YA WATUMIAJI WA HUDUMA KUADHIMISHWA MACHI 15
-
Mwenyekiti wa Jukwaa la Watumiaji Tanzania (TCF) Daud Daud akizungumza
kuhusiana na maadhimisho ya Siku ya Haki ya Watumiaji Duniani itayofanyika
Machi...
HAKI YA WATUMIAJI WA HUDUMA KUADHIMISHWA MACHI 15
-
Mwenyekiti wa Jukwaa la Watumiaji Tanzania (TCF) Daud Daud akizungumza
kuhusiana na maadhimisho ya Siku ya Haki ya Watumiaji Duniani itayofanyika
Machi 15...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.