ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 6, 2014

MWANZA YADHIBITI KASHFA YA UMRI MAANDALIZI KUELEKEA COPA COCA COLA 2014-2015.

NA ALBERT G. SENGO: MWANZA
Kueleka Michuano ya Copa Coca Cola 2014 Ngazi ya Taifa, Chama cha soka mkoa wa Mwanza (MZFA) licha ya kukumbana na changamoto za udanganyifu kwa baadhi ya washiriki waliojitokeza katika mchakato wa kusaka vipaji vya umri stahiki, hivi ndivyo walivyojipanga katika ushiriki ikiwa ni sanjari na kuwa makini katika uhakiki wa suala la umri kwa wawakilishi wake kwenye michuano hiyo.

Sports Xtra imezungumza na Katibu Mkuu wa MZFA Nasib Mabrouk. BOFYA PLAY KUSIKILIZA

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.