Mdau wa Mziki wa Kizazi kipya ndani ya Bongo na Kwengineko ulimwenguni. Pokea kazi mpya toka kwa wakongwe hawa wawili katika kuihamasisha jamii ya KI-TANZANIA kuhusu hali ya sasa na Uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015. Wimbo unaitwa MAKAMANDA, waliochana mistari humo ndani ni Mhe. Sugu na Professor Jay, umefanywa Mwanalizombe Records chini ya Producer Villy. BOFYA PLAY KUSIKILIZA
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, i...
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, ikisisitiza kuwa Tanzania inatambua thamani
kubwa ya ra...
Unaweza kuzitambua video zilizotengenezwa kwa AI?
-
Mojawapo ya ishara za wazi ni pale unapoona video yenye ubora hafifu iwe
yenye ukungu, au ukijani hilo linapaswa kukupa tahadhari kwamba huenda
unatazama v...
0 comments:
Post a Comment